- GE2025 - CCM wanatangaza majina ya wagombea ubunge . . . - JamiiForums
Wakuu, Ile siku ambayo ilikuwa inasuburiwa kwa hamu ni leo Ngoja tuone kitachojiri ========= Wakati watu wakimsubiri Makalla, ukurasa rasmi wa CCM umepost picha hizi kwamba kikao bado kinaendelea Kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) chini ya Mwenyekiti wa
- Napendekeza: Tuwe na CCM Pekee Kama Ilivyo China na CCP, Vyama Vingine . . .
Tanzania inaweza kuiga mfumo huo kwa namna yake, ikitumia CCM kama msingi wa umoja, maadili, na maendeleo ya taifa Kwa hiyo, vyama vingine visiwe washindani wa CCM, bali viwe wadau wa ndani vinavyotoa mawazo, ushauri, na wawakilishi katika miundo ya uamuzi ya chama hicho
- GE2025 Kamati Kuu CCM yatangaza rasmi majina ya watia nia Ubunge 2025
Majina ya wagombea wa Ubunge wa Majimbo, Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi, Viti Maalum vya Ubunge na Baraza la Wawakilishi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) yanatarajiwa kutangazwa mchana huu baada ya kikao cha Kamati Kuu ya Chama hicho kulichomalizika usiku wa kuamkia Julai 29, 2025
- CCM ni kina kirefu sana. Wengi hawaijui vizuri (Kidogo kidogo . . .
CCM si chama tu Ni taasisi, ni historia, ni mfumo, ni falsafa, na ni utamaduni wa kisiasa uliozaa Tanzania tunayoijua leo Kuelewa CCM kunahitaji mtu kujifunza: historia yake, misingi yake, muundo wake, mafanikio na changamoto zake, zaidi ya maneno ya mitandaoni Ndiyo maana ni sahihi kusema: “CCM ni kina kirefu sana, na wengi hawaijui
- Jambo pekee la kuwafanya CCM waogope kuwachezea . . . - JamiiForums
Kwa muda mrefu sana, CCM waliwafanya Watanzania kama mazuzu na wapumbavu Waliwateka, kuwaua, kuwaibia uchaguzi, kufisadi rasilimali za Taifa huku wakiwalisha propaganda za amani, udini, uzalendo, vita vya kiuchumi na nyingine nyingi CCM hawakuweza tu kuwarubuni Watanganyika kwa uongo bali
- Watu wote wenyeakili wanajua; Mipango yao ime fail, CCM inazidi kuwa . . .
Watu wanaotumia mihemko wataendelea kupiga kelele Lakini ukweli ni kwamba mipango yao waliyoisuka kwa miaka mingi imezimwa kama mshumaa Wao wanapanga CCM inapanga CCM imevuka vikwazo vingi mno, imepita kwenye milima na kwenye mabonde mazito Imepenya majaribio mengi Walitumia maafisa
- GE2025 - sikilizeni matokeo ya kikao cha CCM live | JamiiForums
Wale wazushi wa humu JF sikilizeni matokeo ya kikao cha dharura cha CCM Dodoma CCM ni chama imara zaidi ya jabali hamwezi ht kuitingisha, msiifananishe na hao wenzenu Sijui baada ya hapa mtakuja na uzushi upi, tunausubiri ila wengine mtawehuka mwaka huu KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI, OKTOBA
- GE2025 - Ushauri: Rais Samia ajiuzulu Uenyekiti abakie Rais ili CCM . . .
GE2025 Ushauri: Rais Samia ajiuzulu Uenyekiti abakie Rais ili CCM ijisafishe na Mzee Kikwete asimamishwe uanachama kwa muda kupisha usafi
|